Meale
Member
- Nov 24, 2009
- 91
- 0
- Thread starter
- #81
aisee!!!, kwa umri wako kama hata girl friend hujawahi kuwa naye, basi nikushauri usubiri, utaoa mbinguni si lazima uoe duniani, may be mkeo ashatangulia mbele za haki fanya hima kumfata, vinginevyo utavamia wake za watu, mfano Pretty na Firstlady1 UISHIE KUFUNGWA, UARABUNI UTANYONGWA, TAKE CARE
Hahahaaa! siyo kweli. Siaoni kama nimechelewa kuoa ila ndio nipo kwenye muda muafaka.