Natafuta mchumba ambae wa Serious Relationship

Natafuta mchumba ambae wa Serious Relationship

junior91

New Member
Joined
Sep 21, 2015
Posts
4
Reaction score
0
Hi mimi ni kijana wa miaka 24 natafuta msichana (mchumba) ambaye nitaweza kudate nae na pia awe serious sitaki pasua vichwa kbsa maana nishaumizwa vya kutosha. Napendelea msichana mwembamba sio mrefu sana, pia awe tu mstaarabu. Awe na miaka kati ya 18-23. Ukiwa unajua unavigezo hivyo then check with me on Direct Message.
 
Bila shaka asha ngedere anakufaa sana kwa hivyo vigezo vyako
 
Ushaumizwa vya kutosha coz wewe mwenyewe ni pasua kichwa. Huyo mchumba nenda kamtafute google, hapa unapaka rangi tu.
 
Unajua tofauti ya kutafa msichana na kutafuta mchumba? Halafu huu umri si bado wewe ni mvulana?
 
huku hamna mambo ya DM,ni PM tu...inaonekana we ni mtu wa ku DM sanaaaa watoto wa watu huko instagram eeh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom