Yaani unaenda hospital unakuta Daktari chenga Hadi mgonjwa unamshtukia, hata ethics hakuna siku hiziSema to be honest hawa madaktari wa kuanzia miaka ya 2020 aisee Mungu atusaidie tena sana watanzania ambao kipato chetu papatupapatu...Tena hawa wanaoanzia CO ndio chenga balaaa.