Mkuu, nilifikiri uko karibu kumbe ni Manyara. Mi niko Dar.
Kama mkopeshaji wako hasomeki, na kama unayo business plan ambayo ni convincing, waweza jaribu kuona wakopeshaji wengine, unaweza pata atakayekubaliana na ww, anunue hilo deni, halafu mkubaliane utaratibu wa ulipaji unaokupa unafuu.
Option nyingine inaweza kuwa kutafuta mmiliki mwenye shule kubwa nzuri hata mkoa mwingine mwenye nia ya kufungua tawi la shule huko north, ukaingia naye ubia, au umuuzie (kwa kiwango cha kukuwezesha ku settle hilo deni na kupata chochote) then ujipange upya.. nk