Msuya Jr.
JF-Expert Member
- May 31, 2013
- 1,691
- 901
hello,
wandungu na wana jf wenzangu, nina shamba la hekari 20 mkoa wa kilimanjaro ,wilaya ya moshi vijijini kata ya kahe, karibu na shamba la miwa la TPC (walima miwa ya sukari).
hivo nataka mtu amabaye kweli kabisa ana hasira ya maisha na yuko tayari kujitolea katika kilimo na awe na interest katika kilimo , asilazimishe hobi hii ya kilimo, awe na mapenzi binafsi katika shughuli hii kama ilivo music au fashion,
iwapo atakuwa tayari ni vizuri akawa na mtaji kiasi wa kuanzia,
Maana mimi nitatoa shamba ambalo lina visima 2 vya kumwagilia, pia nitatoa mashine ya kumwagilia shambani.
Hivo mtaji wa kuanzisha kilimo hichi cha kisasa na chenye tija tutachangia mtaji kwa jinsi tutakavyoanza
nataka mtu ambaye yuko tayari kwa shughuli hii maana nina vishughuli vyangu kadhaa katika jiji la makonda ,
mwanasheria atahusika katika haya yote.
aliye tayari contact/whatssap 0674 518 707
wandungu na wana jf wenzangu, nina shamba la hekari 20 mkoa wa kilimanjaro ,wilaya ya moshi vijijini kata ya kahe, karibu na shamba la miwa la TPC (walima miwa ya sukari).
hivo nataka mtu amabaye kweli kabisa ana hasira ya maisha na yuko tayari kujitolea katika kilimo na awe na interest katika kilimo , asilazimishe hobi hii ya kilimo, awe na mapenzi binafsi katika shughuli hii kama ilivo music au fashion,
iwapo atakuwa tayari ni vizuri akawa na mtaji kiasi wa kuanzia,
Maana mimi nitatoa shamba ambalo lina visima 2 vya kumwagilia, pia nitatoa mashine ya kumwagilia shambani.
Hivo mtaji wa kuanzisha kilimo hichi cha kisasa na chenye tija tutachangia mtaji kwa jinsi tutakavyoanza
nataka mtu ambaye yuko tayari kwa shughuli hii maana nina vishughuli vyangu kadhaa katika jiji la makonda ,
mwanasheria atahusika katika haya yote.
aliye tayari contact/whatssap 0674 518 707