Natafuta Mbao

MABAGHEE

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
682
126
Natafuta mbao ambazo zimeshatumika 2*4 pcs 100 na 1*8 au 1*10 pcs 60. Maeneo ya Mbezi beach, Tegeta, ubungo na Mbezi Mbezi Morogoro road. Piga au sms 0754692008.
 
Mbao zilizotumika uwa zinakodishwa Kariakoo kwa wale wanaojenga maghorofa. Jaribu kuwaona ukikuta sehemu wanajenga ulizia watsakuelekeza bila tatizo inapunguza sana gharama za ujenzi mimi nilitumia mbao used kwa kuzikodi kwa bei kidogo na nilipomaliza kazi nikazirudisha kwa wenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom