Mwanzoni mwa waka huu nilienda pale SIDO maeneo ya Jet lumo kwa mbele kama unaelekea Tazara. Lengo la kwenda pale ni kuulizia mashine flani.
Nikaelekezwa kwenye mashine za jamaa flani pale nikamkuta jamaa anatengeneza peanut butter, ameshajaza kama ndoo kubwa 8, nikajiuliza kumbe hii kitu inatengenezewa hivi.
Nenda pale SIDO hizo mashine zipo.