Natafuta mashine ya kutengeneza peanut butter

Natafuta mashine ya kutengeneza peanut butter

lucy apolo

New Member
Joined
Feb 7, 2021
Posts
3
Reaction score
0
Kwa yeyote anayejua sehemu zinapouzwa hizi machine na bei husika ni wapi naweza kuzipata
 
Mwanzoni mwa waka huu nilienda pale SIDO maeneo ya Jet lumo kwa mbele kama unaelekea Tazara. Lengo la kwenda pale ni kuulizia mashine flani.

Nikaelekezwa kwenye mashine za jamaa flani pale nikamkuta jamaa anatengeneza peanut butter, ameshajaza kama ndoo kubwa 8, nikajiuliza kumbe hii kitu inatengenezewa hivi.

Nenda pale SIDO hizo mashine zipo.
Asante
 
Kwa yeyote anayejua sehemu zinapouzwa hizi machine na bei husika ni wapi naweza kuzipata
Wasiliana na ofisi za Sido zilizopo karibu yako, kama Upo Dar es salaam wanapatinana Nyerere Road karibu na Jet.
 
Ninazo mashine nilipata kutoka EFTA, ni mashine kubwa Imara, nakuuzia bei ya used, kama upo interested nichek pm
 
karibu Tanzaniadeveloper kwa mwenye kampuni ya kutoa mikopo au kikundi au chama cha kuchangishna nikutengenezee system ya kuomba mkopo online kwenye kikundi chochote. Tumia simu yako ya kinganjani kuomb mkopo kiulaisi zaid.
 
Back
Top Bottom