Natafuta mashine ya kuosha vyombo

Dom boy

Member
Joined
Jan 24, 2018
Posts
99
Reaction score
64
Habari wana Jf, nimechoshwa na kazi yakuosha vyombo kila vinapochafuka hasa baada ya kuvitumia, kwa yeyote anaejua mahali zilipo mashine hizi aniambie.
 
Mpigie huyu dada yupo Masaki anazo 0762485764 au mcheki WhatsApp akutumie picha # 0692890051 .
Nenda instagram thriftstoretz .
 
Niajiri mimi nikuoshee, niko vizuri sana kwenye kusugua masufuria
 
Hlade's Law
If you have a difficult task, give it to a lazy man, he will find an easier way to do it.

Tunategemea kuona ukiunda hiyo mashine soon..
Thank you, that is a good idea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…