Natafuta mashine ya Ku-BET (nanunua)

Natafuta mashine ya Ku-BET (nanunua)

issawema

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2013
Posts
776
Reaction score
644
jamani nataka nianzishe hii biashara sasa sijajua upatikanaji wake na zinapatikana kwa sh ngapi, kama kuna mzoefu atujuze.

natanguliza shukrani
 
Mashine zinapatikana bure bila hata shilingi.Kama hupo dar nenda kariakoo stendi ya tegeta uliza kwa dereva tax ofisi za premier betting then ukifika hapo watakupa maelekezo.KM UWE NA BARUA YA MAOMBI HUO UWAKALA NA BARUA 2 za wadhamini zikiwa na passport size 2 kwa kila mdhamini.
WAWEZA KUOMBA MWEZI HUU WA SABA UKAJA KUIPATA DECEMBER.maombi ni mengi sana but HUSIKATE TAMAA.
 
Mashine zinapatikana bure bila hata shilingi.Kama hupo dar nenda kariakoo stendi ya tegeta uliza kwa dereva tax ofisi za premier betting then ukifika hapo watakupa maelekezo.KM UWE NA BARUA YA MAOMBI HUO UWAKALA NA BARUA 2 za wadhamini zikiwa na passport size 2 kwa kila mdhamini.
WAWEZA KUOMBA MWEZI HUU WA SABA UKAJA KUIPATA DECEMBER.maombi ni mengi sana but HUSIKATE TAMAA.

anhaa shukrani na vip mimi wakala nafaidikaje au unalipwa mwisho wa mwezi?
 
jamani nataka nianzishe hii biashara sasa sijajua upatikanaji wake na zinapatikana kwa sh ngapi, kama kuna mzoefu atujuze.

natanguliza shukrani

Acha uvivu wewe biashara gani hiyo unataka kufanya si bora ukalime tu
 
Umetisha kabisa aisee wewe huhitaji kubet bali wataka mashine kabisa
 
Mashine zinapatikana bure bila hata shilingi.Kama hupo dar nenda kariakoo stendi ya tegeta uliza kwa dereva tax ofisi za premier betting then ukifika hapo watakupa maelekezo.KM UWE NA BARUA YA MAOMBI HUO UWAKALA NA BARUA 2 za wadhamini zikiwa na passport size 2 kwa kila mdhamini.
WAWEZA KUOMBA MWEZI HUU WA SABA UKAJA KUIPATA DECEMBER.maombi ni mengi sana but HUSIKATE TAMAA.

"Unampotosha" kumwambia ni bure,toa hela kidogo 50 au 100 aone kama hapati kesho yake.mi ndo hvo nilifanya sahv nazo mbili.
 
anhaa shukrani na vip mimi wakala nafaidikaje au unalipwa mwisho wa mwezi?

Unalipwa daily ukifanya mauzo.ni 7% ya sales.kama ujauza laki utawatumia 93(sababu ukipewa mtaji wa laki) au ukiuza 10 utatuma 9300...1% ukifanya payment ya winner ticket na hapa panalipa sana sababu unawakata watu hela hulipi kama ilivoandikwa.
 
Back
Top Bottom