emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,052
- 1,526
Habari.
Niko kisiwa cha mafia, kutokana na zao kuu kisiwa hiki kuwa ni nazi. Nazi zikishabanguliwa "kuvuliwa ganda la nje, mara nyingi haya maganda hutupwa na kuchomwa moto.
Natafuta mashine ya kusaga hayo maganda kwa hapa tanzania ili niweze kupata unga nitaotengenezea coco peat kwa ajili ya kilimo.
Niko kisiwa cha mafia, kutokana na zao kuu kisiwa hiki kuwa ni nazi. Nazi zikishabanguliwa "kuvuliwa ganda la nje, mara nyingi haya maganda hutupwa na kuchomwa moto.
Natafuta mashine ya kusaga hayo maganda kwa hapa tanzania ili niweze kupata unga nitaotengenezea coco peat kwa ajili ya kilimo.