nashukuru kwa kunijuza ok muda simlefu nitarudi shule. na hataninyi co vyote kuwa mnavijua kuna vingi tu hamvijui. kuhusu email. nilishakuwa nayo lakini kwa bahati mbaya ilifungiwa.napia elimu ni bahari mimi na ninyi wote tunajifunza usilolijuwa ww mm nalijuwa.na nisilolijuwa mm ww unalijuwa. kiswahili ni lugha yetu lakini ukifwatilia kwa kina hakuna hata mtanzania mmoja wetu anae ongea kiswahili fasaha. karibuni marafiki zangu.