Ni nauliza soko la Tanzanite DSM!
Natafuta mtu au kampuni inayoweza kusuply 100kg za makaa ya mawe kila baada ya siku saba.
Kwa biashara zaidi njoo PM sasa hivi nikupe utaaratibu.
Aksante.
Check na wanaosupply kwenye viwanda vya cement dar,watakuletea au nenda mgodini yanapotoka then tafuta tipper mnahesabiana kilometers anakuletea.Mimi nitahitaji baadae kwa ajili ya kufulia UMEME na kutengenezea mkaa,najipanga kwanza
Aksante kwa ushauri....changamoto ni kuwapata hao suppliers wa viwandani sasa.
Vipi ulishapata makaa ya maweNatafuta mtu au kampuni inayoweza kusuply 100kg za makaa ya mawe kila baada ya siku saba.
Kwa biashara zaidi njoo PM sasa hivi nikupe utaaratibu.
Aksante.
Kama hakupata tuwasilianeVipi ulishapata makaa ya mawe
Huyu bwana dau lake dogo, makaa ya mawe kwa tz ndio yanatafuta watejaNafikiri wao ndo changamoto kuwapata wateja,nenda viwanda vya cement utakuta malori mengi tu watakupa muongozo mzima.