Natafuta maid/ housegirl

Natafuta maid/ housegirl

Kristin

Member
Joined
Aug 26, 2009
Posts
65
Reaction score
4
HABARI ZENU WAPENDWA,

natafuta yaya/ maid wa kulea mtoto wa miaka 4 wa kike.
kama unataarifa zozote tuwasiliane hapa au hata kwa pm
sifa zake;
awe na umri usiopungua miaka 25
makazi ni Arusha.
awe ni wa kuishi hapohapo
wazazi ni waajiriwa
salary 80,000- 100,000.
awe mchapa kazi sio mpaka asukumwe, awe anapenda kulea watoto, asiwe muhuni awe anajyejiheshimu.

tafadhali nawasilisha
thanks.
 
Kuna yaya wa ki-ume! Sifa zote tajwa anazo...kama upo tayari ni PM kwa ziada
 
Unatafutwa kuibiwa ww

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mie naitafuta kazi kama hiyo vipi nitakufaa?

Kama sitakufaa nakushauri kuwa makini ili umpate yaya mwelevu na mwamini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom