Natafuta mabanda ya kufugia ya kukodi

Natafuta mabanda ya kufugia ya kukodi

Sethshalom

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
590
Reaction score
1,029
Habari zenu wana jamvi
Mi naishi Dar-es-salaam , natafuta mtu mwenye mabanda au eneo ambalo hatumii kwa sasa ili anikodishie nianzishe mradi wa ufugaji wa nguruwe na kuku liwe na maji itakua vizuri .Nitakuja kupaangalia ili tuelewane ,anagalau nilitumie kwa mwaka mmoja
Unaweza kuni pm contacts zako na kunijulisha eneo liko wapi ,pia na bei
Asanteni
 
Mimi ninalo la kuku,mbez kwa msuguri,maji hakunaga huku labda msimu wa mvua
 
nenda shekilango stendi yanauzwa mengi tu nyuma ya bandari kavu
 
NICHEKI 0764726071 AU 0624078252 maji kibao,miti kibao bure n kukata tu.
 
NAMAANISHA MITI IPO YA KUTOSHA TAMPELEKA AKATE BURE MPAKA AIACHE KWAAJILI YA KUJENGA BANDA,MAJI BURE AKITAKA YA KUNUNUA PIA YAPO.
 
Back
Top Bottom