HR CONSULTANT
Member
- Jun 7, 2010
- 76
- 8
Wadau,
Nataka kuanza ufugaji wa kuku wa nyama mkubwa kuku 1000 mpaka 5000.
Natafuta sehemu ya kukodi kwaajiri ya kufugia, iwe na mabanda au nyumba nayoweza kujenga mabanda. nitapendelea zaidi pembeni ya mji
Nataka kuanza ufugaji wa kuku wa nyama mkubwa kuku 1000 mpaka 5000.
Natafuta sehemu ya kukodi kwaajiri ya kufugia, iwe na mabanda au nyumba nayoweza kujenga mabanda. nitapendelea zaidi pembeni ya mji