wenalitha
Member
- Apr 24, 2016
- 60
- 48
Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu mi ni binti ila katika ukuaji bahati mbaya nilijikuta nimeshaurika na kutumia lotion za kubadili mwili.Ila tangu nimejitambua kwa kweli najichukia mno si kwamba bado natumia cream la hasha ila lotion nyingi nazotumia hazinipendi nami nataka niwe na rangi yangu halisi yenye mng'ao mzuri.Naombeni mtu anisaidie jina la lotion ambayo haichubui na itayonipa ngozi ya mwonekano mzuri but isiwe za nazi cause nyingi nishazijaribu huwa zinanitoa mapele.