Uko upande gani wa nchi ndugu,nilikua na duka la kuuza hizo rasta nikafunga ,nina unsold stock,pia nafahamiana na wauzaji wa brand zote ambao nilikua nachukulia mzigo kwao kariakoo.Kama una lolote nitumie msg (PM) tumalize habari hizi.Karibu ndugu!Habarini!
Nataka kujua mchanganuo mzima juu ya bei za lasta za jumlajumla,,
kuanzia bei ya dozen na ya mfuko mzima mmoja wa lasta.
Pia muxmum hela ya kuanzia biashara hiyo
pia mtu wa kuweza kuniconnect na wauzaji hao...