Natafuta kiwanja, nina laki 5

Natafuta kiwanja, nina laki 5

Nataka kiwanja popote pale. Dar kibaha pwani mlandizi kimanzi chana kongowe na kad......


Kama upo serious nenda Viguta pale mnara wa saa kuna viwanja vipo mkoa wa Pwani. Au watafute kwenye mitandao ya kijamii.
 
Kiwanja cha hivi anapata, inakua ni mtu ana uwanja mkubwa anakukatia kipande.

Tatizo ni kumkuta mmiliki kama huyo jf.
 
Mimi Nina milioni 1 unusu kweli naweza nikapata kiwanjaa chanika
 
Nenda ikwiriri hko Eka moja 150000 unapata

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom