Kwanza kabisa nafahamu madalali watakuwa wakwanza kunijibu na kunipeleka sehemu ambazo ziko kwenye mpango wa kutouzwa.
Kwa hiyo nawakanya mapema maana nishapelekwa sehemu nikaokolewa na mwenyeji wa kule akaniambia usije ukanunua sehemu hizo
sasa naomba nipate kiwanja ambacho kina hati na isizidi milion 6
naomba msaada
Kwa hiyo nawakanya mapema maana nishapelekwa sehemu nikaokolewa na mwenyeji wa kule akaniambia usije ukanunua sehemu hizo
sasa naomba nipate kiwanja ambacho kina hati na isizidi milion 6
naomba msaada