Natafuta kiwanja Goba

Natafuta kiwanja Goba

Ka hutak unasepa, mi naringa eneo langu la ukwel, majiran zangu mabangaroo tuu, sasa kumbe ww unataka kujenga kinyumba kama choo, simihuzii maskin hali ya mnunuaji iwe nzuri sitak masikin uje kutuchafulia mtaa

Duh kumbe wewe ni tajiri na hutaki maskini wakuchafulie neighbourhood.

Janguo tajiri mwenzio anauza 20000 per meter square amevipima wewe cha kwako 37500 na mbofumbofu.
 
Duh kumbe wewe ni tajiri na hutaki maskini wakuchafulie neighbourhood.

Janguo tajiri mwenzio anauza 20000 per meter square amevipima wewe cha kwako 37500 na mbofumbofu.
achana nae huyo mkuu, ukisoma jina lake utagundua kuwa amepanga sinza
 
Ivi vi pre form 1 vipo vingi JF.

Ahahaha, asante kwa kujitusi mwenyewe, yan mtu nimemtajia bei ya kiwanja analeta kejeli badala ya kusema ameshindwa bei, af ww unadandia tu nan pre form one, mimi au wewe?
 
Natafuta kiwanja Goba chenye ukubwa wa meters kati ya 1500-2000.Kama kipo niambie kipo Goba sehemu gani, kina ukubwa wake halisi na bei yake hapa hapa jukwaani kabla hatujaingia PM.

NB: Ukubwa wa kiwanja na bei yake ni lazima zitajwe hapa wazi, biashara za kujificha ficha huwa sizitaki.

Asante.

Kuna Kiwanja Goba Tegeta 'A' karibu na kinzudi. Ukubwa SqrMeter 1470
Bei Milioni 24
 
asante SumiJr, mi sinunui kwa madalali. nimepitia post zako naamini wewe ni dalali. asante
 
Last edited by a moderator:
asante SumiJr, mi sinunui kwa madalali. nimepitia post zako naamini wewe ni dalali. asante

Kwahiyo Madalali hawana uwezo wa kumiliki viwanja? Icho kiwanja ni changu nakimiliki mwenyewe.
Udalali ni kazi tu, Ila usijari nilikuwa nakujuza tu..
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo Madalali hawana uwezo wa kumiliki viwanja? Icho kiwanja ni changu nakimiliki mwenyewe.
Udalali ni kazi tu, Ila usijari nilikuwa nakujuza tu..
umenielewa vibaya mkuu, nafahamu madalali wenye pesa kuliko hata JK. Madalali wengi wanapouza viwanja husema vyao, asante kwa taarifa.
 
asante sana mkuu, huyo mwenye mali bei yake anauza sh ngapi? kwa kutumia uzoefu wa alivyokuuzia wewe

Kiongozi ushapata kiwanja? Jamaa alisafiri karudi sasa ana kiwanja cha 1600 sqm anauza kwa 24M kipo Goba container pale. Km 50M kutoka barabara mpya inayojengwa. 100M St Joseph secondary
 
Kiongozi ushapata kiwanja? Jamaa alisafiri karudi sasa ana kiwanja cha 1600 sqm anauza kwa 24M kipo Goba container pale. Km 50M kutoka barabara mpya inayojengwa. 100M St Joseph secondary
ni PM namba yake ya simu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom