Natafuta Kiwanja Dar

Natafuta Kiwanja Dar

Tshs 70,000,000/Sqm 2,134
=Tshs 32,802/Sqm,
Bei yenyewe ni Udalali tosha tayari
Bunju Ardhi ipo juu mzee tena majiran wa hapo wameshapandisha magorofa maji umeme vyote vipo
 
Huyu bwana ni mzoefu was maeneo hayo nawenye viwanja wapo karibu naye mpigie shayo 0715569279 au0784569279
 
Maeneo ya Tegeta, Kunduchi ..bajeti mpaka 40M.
Kisiwe kiduchu sana..na matapeli nitawafunga..nawaonya pesa haitatoka kilaini kama mnavyofikiria!!
Ninacho goba...47x30 bei ni 38m kimepimwa contact me
 
Location: tegeta (madale)
Areas square meter: 1225 (35×35)
Documents available
Price: 35m
 
Kipo salasala karibu na feza
Square meter 2045
Ni tambarare chote.
Kina tofali chache, kifusi na kokoto.
Hati ipo
Price fixed 35m

Na kingine kipo mbele yake (mwisho wa lami)
Kina sqm 4200
Hakina hati hiki.
Mkuu salasala karibu na FEZA International a schools sqm2045 na hati juu milioni 35!!!!mkuu mimi naishi haya maeneo nakataa mkuu,ungekuwa umeuza zamani sana.
 
Location: tegeta (madale)
Areas square meter: 1225 (35×35)
Documents available
Price: 35m
Mkuu we we mtata,viwanja vyako vyote bei moja kuanzia salasala mpaka madale!
 
Mkuu salasala karibu na FEZA International a schools sqm2045 na hati juu milioni 35!!!!mkuu mimi naishi haya maeneo nakataa mkuu,ungekuwa umeuza zamani sana.
Njoo hata kesho asubuhi tufanye biashara
Ya nin kubishana/kulumbana?
 
Maeneo ya Tegeta, Kunduchi ..bajeti mpaka 40M.
Kisiwe kiduchu sana..na matapeli nitawafunga..nawaonya pesa haitatoka kilaini kama mnavyofikiria!!

Habari nina kiwanja boko Magereza
40*53
Bei 8ml ila maongezi yapo
 
Back
Top Bottom