Ndugu wanajukwaa natafuta, kiwanja cha kununua mkoani Mwanza kama inavyosomeka hapo katika kichwa cha huu Uzi.
Sifa: 400SQM, kiwe kimepimwa, kinafikika na barabara, hakina mgogoro wowote na pia hakipo Kisiwani.
Bajeti yangu TZS. 500,000/=,pesa ipo mfuko wa shati
NB:Sitaki tamaa na utapeli.
Sifa: 400SQM, kiwe kimepimwa, kinafikika na barabara, hakina mgogoro wowote na pia hakipo Kisiwani.
Bajeti yangu TZS. 500,000/=,pesa ipo mfuko wa shati
NB:Sitaki tamaa na utapeli.