adsense master
Senior Member
- Mar 12, 2019
- 107
- 171
Habari wakuu natumaini wazima npo mbeya mjini nahitaji kiwanja kwaajili ya makazi kiwe kimepimwa na hati,sqm 750+,kuwe na maji na umeme..ngependelea zaidi iwambi mpya ( upande wa maghorof)
bajeti yangu 7M.
NB:SIHITAJI DALALI
Sent using Jamii Forums mobile app
bajeti yangu 7M.
NB:SIHITAJI DALALI
Sent using Jamii Forums mobile app