mwanaharakati2
Member
- Nov 5, 2010
- 25
- 0
Natafuta kiwanja kilicho barabarani, sehemu ambayo naweza kuweka frames. Siyo lazima eneo liwe limepimwa.
Njoo ubungo msewe kama ni mfanyabiashara hutajuta, wateja wengi hasa wanafunzi wa udsm, biadhara kama supermaket, restaurant, nyumba za kupangisha, etc wasiliana nami bei ni only 30 mil kina nyumba ya two rooms. Kutoka kilipo kiwanja hadi udsm ni mita 200, ubungo mataa mita 400, morogoro road ni mita 200, usipange kukikosa, hakina dalali ni changu mwenyewe mawasiliano edu:0765599808