habari wandugu nipo nje ya tz nimeomba ndugu na marafiki wanisaidie kutafuta kaplot ka kujenga but wananiambia ni gali sana si chini ya mil 15 naomba mnisaidie kama mnajua vilipo na bei zake wakuu asanteni
nikweli viwanja ni bei ghali alakini inategemea na maeneo yaliyopo.kiwanja cha hiyo bei utapata sehemu ambayo ni nzuri yaani planed area,alakini ikiwa kwenye mil7kwend chini lazima itakua mbali na mji na hakitakua kikubwa wala planed.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.