M malewa Member Joined Feb 23, 2015 Posts 15 Reaction score 4 Feb 12, 2016 #1 Wakuu simu imedondoka na kioo kimepasuka, inawaka kama kawaida lakini siwezi screen yake haipo active hivyo siwezi kufanya chochote iwe ni kupiga simu, kupokea, kusoma WhatsApp etc. Mwenye nacho tafadhali tuwasiliane.
Wakuu simu imedondoka na kioo kimepasuka, inawaka kama kawaida lakini siwezi screen yake haipo active hivyo siwezi kufanya chochote iwe ni kupiga simu, kupokea, kusoma WhatsApp etc. Mwenye nacho tafadhali tuwasiliane.
F frank4i Member Joined Nov 4, 2015 Posts 88 Reaction score 25 Feb 12, 2016 #2 njoo kariakoo utavipata
M miikky Member Joined Aug 10, 2014 Posts 31 Reaction score 0 Jun 18, 2016 #3 frank4i said: njoo kariakoo utavipata Click to expand... Bei Mkuu tujiandae kabisa
C.Thady JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 589 Reaction score 155 Dec 19, 2016 #4 Naomben kujua bei ya touch ya Sony xperia Z3
Shaffin Simbamwene JF-Expert Member Joined Nov 16, 2008 Posts 2,156 Reaction score 1,539 Dec 20, 2016 #5 C.Thady said: Naomben kujua bei ya touch ya Sony xperia Z3 Click to expand... Nenda kwa Fundi Sele Chimuke, kule posta atakufanyia 100,000 kwa touch screen ila complete anafanya kwa 200,000
C.Thady said: Naomben kujua bei ya touch ya Sony xperia Z3 Click to expand... Nenda kwa Fundi Sele Chimuke, kule posta atakufanyia 100,000 kwa touch screen ila complete anafanya kwa 200,000