Natafuta kioo cha sony xperia Z1 screen touch

malewa

Member
Joined
Feb 23, 2015
Posts
15
Reaction score
4
Wakuu simu imedondoka na kioo kimepasuka, inawaka kama kawaida lakini siwezi screen yake haipo active hivyo siwezi kufanya chochote iwe ni kupiga simu, kupokea, kusoma WhatsApp etc.
Mwenye nacho tafadhali tuwasiliane.
 
Naomben kujua bei ya touch ya Sony xperia Z3
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…