Natafuta kioo cha simu sumsung s8edge

Natafuta kioo cha simu sumsung s8edge

Simu ikishavunjika kioo apo hakuna cha kioo fake wala original yni ni bora tu ukanunue mpya tena vioo vya samsung ni ghali mnoo
itakutesa tu iyo simu

Yni ni sawa ukishavunjika mguu ata uungwe vipi hautorejea ktka asili yake

Chaguo ni lako lkn
Umemaliza kila kitu.
 
Simu ikishavunjika kioo apo hakuna cha kioo fake wala original yni ni bora tu ukanunue mpya tena vioo vya samsung ni ghali mnoo
itakutesa tu iyo simu

Yni ni sawa ukishavunjika mguu ata uungwe vipi hautorejea ktka asili yake

Chaguo ni lako lkn
Si kweli wewe ulipata tu matapeli vioo vimawekwa na simu inakua hai na afya tele.
S8+ ilitoka 2018 ikiwa inauzwa milioni 2+
Leo hii mtu anakuuzia et mpya laki4....5 nawewe unanunua. Hiyo si simu mpya ni used mbovu tu hivyo itakutesa mapema sana
 
Si kweli wewe ulipata tu matapeli vioo vimawekwa na simu inakua hai na afya tele.
S8+ ilitoka 2018 ikiwa inauzwa milioni 2+
Leo hii mtu anakuuzia et mpya laki4....5 nawewe unanunua. Hiyo si simu mpya ni used mbovu tu hivyo itakutesa mapema sana
Sawaaa
 
Si kweli wewe ulipata tu matapeli vioo vimawekwa na simu inakua hai na afya tele.
S8+ ilitoka 2018 ikiwa inauzwa milioni 2+
Leo hii mtu anakuuzia et mpya laki4....5 nawewe unanunua. Hiyo si simu mpya ni used mbovu tu hivyo itakutesa mapema sana
Mkuu sasa hivi samsung s8 unapsta mpaka 320,000 za kitanzania,napataga wasiwasi sana.
Yni ni sawa ukishavunjika mguu ata uungwe vipi hautorejea ktka asili yake
Haya mambo ukiwa na pesa unafanya.

Kuna watu walivunjika miguu wakiwa mpirani,wakaenda kutibiwa huko duniani wakarudi eanapiga mpira kama kawa.

So ukivunjika mguu unaweza kutengenezwa ukafanya kazi kama kawaida
 
Simu ikishavunjika kioo apo hakuna cha kioo fake wala original yni ni bora tu ukanunue mpya tena vioo vya samsung ni ghali mnoo
itakutesa tu iyo simu

Yni ni sawa ukishavunjika mguu ata uungwe vipi hautorejea ktka asili yake

Chaguo ni lako lkn
Nyie watu mnajua kuwatisha wenzenu,mimi nimebadili kioo changu cha A70 na ipo vzr tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom