Natafuta king'anuzi cha Azam

ukipata kwa hiyo bei huyo ataekuuzia hakikisha

sio teja na wala haja kiiba,mpige maswali sana

Unaweza ukapata only if Muuzaji ana ndugu yake yuko ICU

Na hela pekee anayotegemea akamuokoe ndugu yake ni

kwenye hicho king'amuzi,tofauti na hapo 70,000 ni nyingi ila si kwa AZAM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom