Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Jamani natafuta kiko (mtemba wa kuvutia tumbaku). Babu yangu anasema atanipa laana nisipomletea. Nimejitahidi kumweleza madhara ya tumbaku lakini kasema ameanza kuvuta tangia zama hizo. Kiko chake kimevunjika na hakifai tena anasema alikinunua wakati wa azimio la Arusha. Nimepita madukani hakuna nimeona bure nije hapa, hata kama babu yako alikuachia urithi we niuzie nikamfurahishe babu yangu.