Nenda tandale kwa tumbo, mtogole au popobawa, kuna vijiwe vingi tu, unajifanya mhuni labda upewe kwenye kampuni yenu
Napenda amani kaka, jibu lako ni kama hujanielewa! mm si mhuni nimetumia lugha rahisi tu; we unaona shughuli zangu zinaendana na mambo ya kihuni? please give encouraging remarks/response or else usijaribu hata kusoma uzi husika!
vipi Itende high school imefungwa??Natafuta kijiwe cha kufanya kazi na watu Kama independent consultant; resource mobilisation, fundraising, proposal writing etc.
siku nyingine tumia lugha itakayoendana na hadhi unayotaka ukizingatia kuwa hapa wanapita watu wa rika zote na hadhi tofautitofauti,unaweza ukakosa nafasi kwa sababu tu ya jinsi ulivyojiwasilisha.imagine nina kampuni inayoweza kufanya kazi na wewe,napita huku nakutana na post kama yako.ntakuona ni muhuni na ambae utai regard kampuni yangu kama kijiwe tu. Aliyekujibu hapo juu kafuata mkondo ulioanza nao wewe mwenyewe. It is a free advice, if at all you are serious then know how to work on it.