daringvoice
Member
- Jun 27, 2018
- 34
- 17
Habari zenu wapendwa,naimani mko salama
Natafuta kibarua Cha kufanya ,Kama Kuna mtu ambaye anata kuajili binti katika shuguri zake anitafute
Ni mwaminifu na ni mtulivu
Nafanya kazi yoyote isipokua ya bar au ndani ndo sita weza kufanya
Kwa maelezo zaidi karibu pm
Nipo mkoa wa Mwanza
Naomba anitafute mwenye shida ya mfanyakazi tofauti na hapo sitaki majaribu
Natafuta kibarua Cha kufanya ,Kama Kuna mtu ambaye anata kuajili binti katika shuguri zake anitafute
Ni mwaminifu na ni mtulivu
Nafanya kazi yoyote isipokua ya bar au ndani ndo sita weza kufanya
Kwa maelezo zaidi karibu pm
Nipo mkoa wa Mwanza
Naomba anitafute mwenye shida ya mfanyakazi tofauti na hapo sitaki majaribu
