Natafuta kibarua hotelini au kiwandani

Natafuta kibarua hotelini au kiwandani

Eddy Love

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
13,655
Reaction score
8,584
Aisee ndugu zangu xaxa mambo yamekuwa tyt na umri huu wa miaka 22 najihc kama mzee kulingana na hali ya sasa kama kuna nafasi za kazi kwnye hzo sector tusaidiane kukaa mtaani ni miyeyesho me najua nafac za kazi zpo sema roho mbaya zetu wa Tz.
 
Kwa uandishi huo hata kama mtu ana kazi atakupatia kweli?
 
Uandishi ndiyo unafanya kazi au yeye kama unajua muunganishie akapige kazi .
 
Aisee ndugu zangu xaxa mambo yamekuwa tyt na umri huu wa miaka 22 najihc kama mzee kulingana na hali ya sasa kama kuna nafasi za kazi kwnye hzo sector tusaidiane kukaa mtaani ni miyeyesho me najua nafac za kazi zpo sema roho mbaya zetu wa Tz.

Elimu yako mkuu?
 
=Jipu;5293408]Aisee ndugu zangu xaxa mambo yamekuwa tyt na umri huu wa miaka 22 najihc kama mzee kulingana na hali ya sasa kama kuna nafasi za kazi kwnye hzo sector tusaidiane kukaa mtaani ni miyeyesho me najua nafac za kazi zpo sema roho mbaya zetu wa Tz.

Watu wakufanyie roho mbaya wanakujua mkuu? Acha kuwa na mawazo mgando, omba kazi kwa ustaarabu utapata tu, jiamini mdogo wangu.

N.B
Kwenye mambo muhimu kama haya ya kuomba Kazi jaribu kuandika kwa ustaarabu basi mzee, kweli inasaidia sana kukujua ni mtu wa namna gani alafu watu wakikupuuza unasema roho mbaya ya waTanzania!

Huo ni ushauri tu ukiukubali chukua ni bure ukiona vipi achana nao.
 
Watu wakufanyie roho mbaya wanakujua mkuu? Acha kuwa na mawazo mgando, omba kazi kwa ustaarabu utapata tu, jiamini mdogo wangu.

N.B
Kwenye mambo muhimu kama haya ya kuomba Kazi jaribu kuandika kwa ustaarabu basi mzee, kweli inasaidia sana kukujua ni mtu wa namna gani alafu watu wakikupuuza unasema roho mbaya ya waTanzania!

Huo ni ushauri tu ukiukubali chukua ni bure ukiona vipi achana nao.

nmekuelewa kaka
 
yaan tatizo let watanzania hata kama zikitoke hizo tenda au vibarua napo unakuta unanyimwa mpaka kujuana...sa sijui itakuaje
 
Halaf huyu anaesema mwenzie anamdomo mchaf hana nia kabisa ya kumsaidia jamaa kapewa ushaur mzur hapo juu na kaukubal sasa ndugu yangu mtanzania mwenzangu mwenye moyo wa ukarim na nia ya dhat naomba tumsaidie kijana mwenzetu!
 
Halaf huyu anaesema mwenzie anamdomo mchaf hana nia kabisa ya kumsaidia jamaa kapewa ushaur mzur hapo juu na kaukubal sasa ndugu yangu mtanzania mwenzangu mwenye moyo wa ukarim na nia ya dhat naomba tumsaidie kijana mwenzetu!

aisee kaka yani humu kuna watu watuvunja mioyo tusio na kazi hata uandike namna gani utaambiwa kwa kejeri
 
Vumilia Kijana, Jua Dunia Iko Rotate
Hivyo Upande Wako Wa Furah Day Bado Hauja kufikia
Endelea kujipa Moyo Na Kumuomba Mola Wako Huku Ukiweka Juhudi!
 
Vumilia Kijana, Jua Dunia Iko Rotate
Hivyo Upande Wako Wa Furah Day Bado Hauja kufikia
Endelea kujipa Moyo Na Kumuomba Mola Wako Huku Ukiweka Juhudi!
ipo siku bro tutashnda
 
Aisee ndugu zangu xaxa mambo yamekuwa tyt na umri huu wa miaka 22 najihc kama mzee kulingana na hali ya sasa kama kuna nafasi za kazi kwnye hzo sector tusaidiane kukaa mtaani ni miyeyesho me najua nafac za kazi zpo sema roho mbaya zetu wa Tz.

nitumie ujumbe mfupi kwenye ndiyomkuusana@yahoo.com, nikusaidie
 
Back
Top Bottom