Natafuta kibarua cha miezi mitatu tu

Natafuta kibarua cha miezi mitatu tu

muneera75

Senior Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
190
Reaction score
318
Habari zenu,

Jamani mi natafuta kibarua cha miezi michache miwili au mitatu tu. Nishamaliza field nimekaa tu home kurudi chuo ni mpaka mwazi wa tatu mwishoni. Sasahii hali ya kukaa nyumbani tu hufanyi chochote na maisha ni magumu sana.

Nilikua naomba mwenye connection yoyote hata dukani naweza kuuza vipodozi, nguo, duka la chakula na sehemu nyingine. Ikiwezekana gapa Dar es salaam itakua rahisi zaidi hata kwenye swala la nauli.

shukrani.
 
Kulikuwa na ulazima gani wa kusema miezi mitatu tu kwanini usingesema unaomba tu uwoni umejipunguzia credit.
 
Jikeep bize fanya biashara ndogo ndogo ya kutembeza mchicha, samaki au yoyote mtaani.
 
Back
Top Bottom