Natafuta Kazi

Natafuta Kazi

Bableyy

Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
72
Reaction score
26
Jamani mwaka sasa tangu nimalize chuo nipo mtaani, nimesomea degree ya ugavi
 
Nitengeneze heading ya nn kwani hujaelewa au
 
Nitengeneze heading ya nn kwani hujaelewa au

Tatizo sio kuelewa ila unatafuta kazi hivyo washawishi wadau waisome thread yako kwa kuweka heading nzuri maana huwezi jua mtu atakaekusaidia.Lakini kwa uandishi huo mtu anaona haupo serious na kazi
 
Sawa im sorry members of the jamii forum, nimekuwa na stress xna ndiyo maana, nitajaribu kuapply police nijaribu Bahati yng
 
Usikate tamaa na mvua moj,kuna watu wana mvua sita na bado bilabila
 
nyie mnaokazana kuwaambia watu wajiajiri mnanikumbusha msemo mmoja wa kibuddha. "when the stomach is full it is easy to talk of fasting"
 
nyie mnaokazana kuwaambia watu wajiajiri mnanikumbusha msemo mmoja wa kibuddha. "when the stomach is full it is easy to talk of fasting"

Ha ha ha ha ha haaaaaa tisha mkuu
 
Tatizo sio kuelewa ila unatafuta kazi hivyo washawishi wadau waisome thread yako kwa kuweka heading nzuri maana huwezi jua mtu atakaekusaidia.Lakini kwa uandishi huo mtu anaona haupo serious na kazi
Afu eti anajishangaa hajapata kazi mpaka leo.
 
nyie mnaokazana kuwaambia watu wajiajiri mnanikumbusha msemo mmoja wa kibuddha. "when the stomach is full it is easy to talk of fasting"

Ma Dr. Wanaofundisha ujasiliamali chuoni cha ajabu hawana hata genge mtaani wao wameajiriwa parce wanategemea mshahara tu ambao kila siku wanapiga mayowe hautoshi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom