Mimi ni msichana ambaye nina elimu ya kidato cha nne pamoja na ujuzi wa kompyuta na nimesha fanya kazi ya u-typist lakini mkataba wangu ulisitishwa na kudhulumiwa haki zangu sikulipwa hata shilingi na hadi sasa nahangaikia malipo yangu.
Naombeni jamani msaada wenu kupata kazi ili hata mimi niweze kujikimu.
Naombeni jamani msaada wenu kupata kazi ili hata mimi niweze kujikimu.