NATAFUTA KAZI

NATAFUTA KAZI

Msaga_sumu

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2022
Posts
341
Reaction score
367
Naitwa Rich JM nipo dar, Yakaribia mwaka sasa natafuta ajira humu JF bado sijapata, ni bachelor degree holder of Accounting with IT.
Nina experience na accounting na auditing kwani nimekua nikifanya kama intern kwa mwaka mmoja sasa kwenye kampuni za engineering na real estates kubwa tu hapa dar. Ninaaacounting skills pamoja na auditing skills,tax returns and filling, statutory taxes (SDL, property tax,WTH,PAYE) dealing with receivable and payable accounts,payroll management, assisting in financial analysis and review, bank reconciliation.
Nauwezo pia na matumizi ya accounting softwares kama tally, quickbooks na kwasasa naendelea jifunza odoo new accounting system inatumiwa na kampuni ya real estate nayofanya sasa.
Naomba connection na sehemu naweza pata kazi zikiwa field ya account sawa au kazi zingine pia naweza fanya.
Uzoefu mwingine (sales and market -freelancer, data transcriber -researches, microfinances)
Mawasiliano.
0768842034
richjohnmashauri1@gmail.com
 
Naitwa Rich JM nipo dar, Yakaribia mwaka sasa natafuta ajira humu JF bado sijapata, ni bachelor degree holder of Accounting with IT.
Nina experience na accounting na auditing kwani nimekua nikifanya kama intern kwa mwaka mmoja sasa kwenye kampuni za engineering na real estates kubwa tu hapa dar. Ninaaacounting skills pamoja na auditing skills,tax returns and filling, statutory taxes (SDL, property tax,WTH,PAYE) dealing with receivable and payable accounts,payroll management, assisting in financial analysis and review, bank reconciliation.
Nauwezo pia na matumizi ya accounting softwares kama tally, quickbooks na kwasasa naendelea jifunza odoo new accounting system inatumiwa na kampuni ya real estate nayofanya sasa.
Naomba connection na sehemu naweza pata kazi zikiwa field ya account sawa au kazi zingine pia naweza fanya.
Uzoefu mwingine (sales and market -freelancer, data transcriber -researches, microfinances)
Mawasiliano.
0768842034
richjohnmashauri1@gmail.com
Utachelewa mkuu nenda veta kapige mambo ya ufundi ajira ni njenje. Fani inalipa kuliko taaluma
 
Cv nzito hii aisee.

Ila chukua ushauri wa jamaa wa Veta.
Huko kwenye ajira uchwara ndio michongo hufunguka kuliko kusubiri kubutua moja kwa moja.

Kila la kheri.
 
Cv nzito hii aisee.

Ila chukua ushauri wa jamaa wa Veta.
Huko kwenye ajira uchwara ndio michongo hufunguka kuliko kusubiri kubutua moja kwa moja.

Kila la kheri.
Kwani veta ni free? Si inahitajika pesa!?
 
Duh! Tembelea mbezi mwisho uone vibanda vya wajasiriamali full kujiachia hakuna kodi na wateja kama woote! Angalau pata hela ya kutembeza bahasha!
 

Angalia hapo kuna nafasi ya HR wanahiyaji any degree
 
Ukiona ngumu mno
Tembelea kampuni za ulinzi
1. WS INSIGHT inaongoza kwa malipo mazuri
2. g4s
3.SGA
4.GARDAWORLD

ukiacha hiyo kampuni ya kwanza...hizo zilizo baki zinakuwaga na fursa kwa wasomi...ila ni lazima ubebeshwe kirungu kwanza...!​
 
📢 TANGAZO LA KAZI – HORIZON INSTITUTE 📢

Horizon Institute inafungua nafasi za kazi katika kozi mbalimbali za kuelimisha! Ikiwa una ujuzi au shauku ya kufundisha, hii ni fursa yako ya kuunga mkono jamii ya wanaojifunza.

🌟 Maeneo ya Kazi Yanayopatikana:

🗣 LUGHA ZA KIGENI
✅ English
✅ French
✅ German
✅ Kitaliana
✅ Russian
✅ Romanian
✅ Spanish
✅ Arabic
✅ Kiswahili
✅ Chines

💻 KAZI ZA COMPUTER
✅ Computer Application
✅ Graphic and Design
✅ Video Production
✅ Air Fare and Ticking

🛠 KAZI NYINGINEZO
✅ Tour Guider
✅ Tuition of all level (Nursery mpaka Advanced)
✅ Cleaner Hotel Management
✅ Ususi
✅ Make Up (Upambaji)
✅ Uchoraji wa hinna na piko

⏳ Mwisho wa Kuwasilisha Maombi: 14/12/2025

🌐 Jinsi ya Kuomba:
Tuma ombi lako kupitia website yetu:
👉 Horizon Institute - Mfumo wa Maombi ya Kazi

📞 Kwa maswali au usaidizi, wasiliana nasi kupitia:
📞 0722 186 012
📞 0786 199 664
📧 Amani Magazeti Zanzibar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom