Mimi naitwa Doris Gabriel naishi Dar Nina certificate ya front office and customer care and telephone operating system.nilifanya field Dodoma Hotel,Serena Hotel, Strategies insurance,ninaomba kusaidiwa kupata kazi pia hata isipopatikana yenye taaluma yangu ila naweza kafanya Kaz nyingine pia hata zikipatikana za kusafiri na magari ya mikoani pia nitafanya Kama mhudumu naweza kuudumia wateja naomben msaada wenu nitashukuru mkinisadia Mungu awabariki, Asanteni