Laylabrian
Member
- May 23, 2019
- 18
- 7
- Thread starter
- #41
Nakujua
Ur not well kichwan
Nakujua
You mean the post is not serious?
Dah...malengo gani? ...kwa mfano tu...Hapana ctaki kuolewa if I wanted to ningekua mke wa mtu sasa hiv but no nataka nifanye kazi nitimize malengo yangu![]()

Unauhakika gani kwanba sikujui? huoni kwamba ww ndo haupo sawa kichwaniUr not well kichwan
Kwa iyo umegundua nin?Okay guys nimeandika hii post just to know if there still people who can help without judging atlst try, mwaka jana kuna dada alikua anatafuta kaz huku watu walimuatak na maneno sn nilichukua no yake nikamsaidia infact niko nae mpk sasa kwenye kutafuta kaz ni mtu anashida na hela na muajiri anashida na mfanyakazi so vinategemeana co kwamba one is better than the other .karibuni I have a micro finance office tunakopesha vikund na nk.pia ujasiriamali kwa mahitaji ya cake aina zote unaweza kunitafuta kwa dar
Kwa iyo umegundua nin?
Au ulitegemea kuna mtu atakuwa serious kwa mtu ambae hayupo serious?
We ar nt fool to that extent.
Ngoma draw.
Acheni kumu-attack ngombe nyie mwenzenu anatafuta kazi yupo serious mnaleta uchoko huku watu wapo serious....acheni upuuzi....kama huwezi kumsaidia si utulie tu?
Bora u understand