Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Chura ipo?
We ni mwehuNope I once had friends lkn it didn’t turn out well na humu its not about trust it’s about help anyone can help you
Hahaah mkuu nisaidie mimi basi...nimeona ID yako nimekumbuka ule uzi wa TRA kipindi kile 2017 watu full kutupiana madongoAira sio kwa kila mtu, kwa kariba yako (kwa mujibu wa majibu yako humu) nafikiri unatakiwa ujiajiri na uajiri watu. Hakuna mwajiri atakayevumilia kuwa na staff kama wewe na hata watoa misaada tunakuwa na wasiwasi juu ya yatakayotokea baada ya kukusaidia.
Mkuu mnafahamiana nini??..maana sijaona sababu ya wewe ya kumwita mwehu kutokana na mawazo yake na hicho anachokiamini kuhusu urafiki.We ni mwehu
njoo pm nitumie picha nikuthaminishe kama unafaa .kuna kaz inahitaj mtoto mzur kuvutia clientsHabari mimi ni mschana wa miaka25 naishi dar nilliishia kidato cha nne baadae nikasoma tour guiding natafuta kazi dar iwe ni ya duka au supermarket Niko tayari
Namfahamu huyo mkuuMkuu mnafahamiana nini??..maana sijaona sababu ya wewe ya kumwita mwehu kutokana na mawazo yake na hicho anachokiamini kuhusu urafiki.
Aira sio kwa kila mtu, kwa kariba yako (kwa mujibu wa majibu yako humu) nafikiri unatakiwa ujiajiri na uajiri watu. Hakuna mwajiri atakayevumilia kuwa na staff kama wewe na hata watoa misaada tunakuwa na wasiwasi juu ya yatakayotokea baada ya kukusaidia.
We ni mwehu
Natafuta msichana anejua kuuza chipsi nankuziandaa nitafute ukiwa wiling
Namfahamu huyo mkuu
Thanks ni nzur lkn I don’t believe in friends so I don’t have any friends
You mean the post is not serious?Okay guys nimeandika hii post just to know if there still people who can help without judging atlst try, mwaka jana kuna dada alikua anatafuta kaz huku watu walimuatak na maneno sn nilichukua no yake nikamsaidia infact niko nae mpk sasa kwenye kutafuta kaz ni mtu anashida na hela na muajiri anashida na mfanyakazi so vinategemeana co kwamba one is better than the other .karibuni I have a micro finance office tunakopesha vikund na nk.pia ujasiriamali kwa mahitaji ya cake aina zote unaweza kunitafuta kwa dar
NakujuaHauko serious Ndio watu km nyinyi am talking about kwanza hatufahamiani pili am being honest don’t judge a book by its cover
Nikusaidie nini mkuu?Hahaah mkuu nisaidie mimi basi...nimeona ID yako nimekumbuka ule uzi wa TRA kipindi kile 2017 watu full kutupiana madongo
What????Thanks ni nzur lkn I don’t believe in friends so I don’t have any friends
Mkuu zingatia rule number 91. Jitengeneze uwe na ushawishi kwa kila nyanja.
2. Jitengeneze uwe friend with benefit kwa rafiki zako unaohisi wanaweza wakawa na msaada kwako.
3. Jenga mazoea ya kutopenda saana kupokea kuliko kutoa.
4. Use nature kutengeneza man made phenomena.
5. Jitambue chanzo chako ni ubavu wa nani... Na mwenye ubavu unamfaidisha vipi.
6. Kuwa smart, social, down to earth and charming.
7. Kuwa mlipaji mzuri by any means kwa kila jema utakalofanyiwa.
8. Jivunie jinsia yako.
9. Itumie saana rule no. 8.
10. Izingatie saana maelezo ya rule no. 9.
Zipo nyingi saana... Ningekuwa mwandishi mzuur ningekuandikia makala.



JF milele