enka mbe
Senior Member
- Sep 3, 2016
- 165
- 113
Mimi kijana wa kiume miaka 18, natafuta kazi kidato cha nne. Ninahutaji kazi yoyote ambayo itakua salama kiafya,
Pia kuna dada angu pia anaumri wa miaka miaka 27 anatafuta kazi. Kazi yyte ya kike yuko tayari kuifanya.
Tafadhari kaka na dada naomba msaada wenu...
mawasiliano 0656092408
Natanguliza shukrani za dhati
Pia kuna dada angu pia anaumri wa miaka miaka 27 anatafuta kazi. Kazi yyte ya kike yuko tayari kuifanya.
Tafadhari kaka na dada naomba msaada wenu...
mawasiliano 0656092408
Natanguliza shukrani za dhati