Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Habari wanajamii.
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, Shahada ya kwanza ya Uchumi.
Nimekuwa nafanya kazi za research na taasisi kadhaa hapa nchini, kwasasa hizo kazi zimeisha na nimebaki idle.
Nipo competent kwenye matumizi ya statistical packages kama STATA, SPSS, na Microsoft EXCELL.
Nipo competent kwenye Data Collection, Data Codding, Data Entry, Data Cleaning na Data Analysis. Hata kuandaa Questionnaire naweza pia.
Kama una kazi yako au kuna taasisi yoyote ambayo mnaweza kunipokea nitashukuru sana.
Napatikana Dar es Salaam.
Email: pettyram@live.com
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, Shahada ya kwanza ya Uchumi.
Nimekuwa nafanya kazi za research na taasisi kadhaa hapa nchini, kwasasa hizo kazi zimeisha na nimebaki idle.
Nipo competent kwenye matumizi ya statistical packages kama STATA, SPSS, na Microsoft EXCELL.
Nipo competent kwenye Data Collection, Data Codding, Data Entry, Data Cleaning na Data Analysis. Hata kuandaa Questionnaire naweza pia.
Kama una kazi yako au kuna taasisi yoyote ambayo mnaweza kunipokea nitashukuru sana.
Napatikana Dar es Salaam.
Email: pettyram@live.com