vHaya karibu tudiscuss dada, mimi niko na nyumba, sijaoa naishi mimi na mdogo wangu wa kiume tu, kazi sio nyingi saana. Kama vipi tunaweza discuss hii issue. ASANTEhamna kitu kaama hicho inamaaana hata wew hpo kazini kwako japo wamekuwekea internet utakuwa unasahau kufanya kazi inayokupa kula na kuishi na kuanza kufanya yasiyohusika na kazi zako kila mtu anaheshimi kazi inayo mpa jeuri mtu anachezea mshhara na sio kazi baba yangu kaka mtu unajua unachofanya hutasahau kilichokupeleka
Ningekuajiri my dia ila,
Kwa elimu yakp ya form four unaweza kuwa messenger/office clearner/office attendant. Jaribu hizo zitakufaa zaidi, au kama una international passport, kuna mwanamke mzungu anatafuta house girl wa kwenda nae kwao. Nenda zoom utakuta contact zake
- Mshahara huo siwezi kukulia
- Siwezi kujua backgound yako, naogopa kuwa mimi mfanyakazi wa ndani na wewe kuwa bosi wangu mana wapo ma house girl wachawi, usiku nafanya mimi kazi ye ndo anakuwa mother house.
Huyu dada uwezo wake wa kujieleza na kujenga hoja ni mkubwa sana. pia ana uwezo mkubwa sana wa kufanya risk analysis.Na mimi binafsi ningependa sana kufanya naye kazi maana siyo rahisi matapeli wa dar kuingia nyumba/biashara aliyokabidhiwa yeye lakini nimefuatilia huku jamvini amejiunga juzi 13/11/2011, pia taarifa zake alizozitoa wakati wa kujisajili zinaniogopesha sana. moja hakupenda kutumia jina lake halisi. pili hata mwaka aliozaliwa ameficha akadanganya amezaliwa 1903.taarifa nyingine zote muhimu ameficha huo uoga anaouonyesha hapo juu utatoka wapi kama haogopi kutoa taarifa potofu kama hizo? naomba mniondoe wasiwasi katika hayo.kiukweli hilo ndo naogopa sana ngoja nijaribu asante
ukweli mtu na uhalisia wake na ubinadamu wake uko ndani ya mtu ni vigumu sana binadamu kumjua binadamu mwenzake isipokuwa Mungu peke yake ndo anaweza kujua moyo wa mtu sitashangaaa sana ukisema hivyo ndugu yang ila tu cha msingi mwenyekuitaji manyakazi atasema kawaida dunia huwa haina usawa asante kazi njema za kulijenga taifa letu la tanzania.