NakaziaNenda vingunguti pale viwandani hukosi kazi!vitoto vidogo vinaajiriwa,pale kuna viwanda kibao,pepsi,moo,jambo,bakhresaa n.k ,Dar kukaa bila kazi ni uvivu wa baadhi ya watu ku kibarua unalipwa per day mpk 8500 wapo!ukienda Mbagala pale kuna viwanda pia!
Komaa dogo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Connection is what matters..Nenda vingunguti pale viwandani hukosi kazi!vitoto vidogo vinaajiriwa,pale kuna viwanda kibao,pepsi,moo,jambo,bakhresaa n.k ,Dar kukaa bila kazi ni uvivu wa baadhi ya watu ku kibarua unalipwa per day mpk 8500 wapo!ukienda Mbagala pale kuna viwanda pia!
Komaa dogo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Walaa hakuna hyoConnection is what matters..
vitu gani vinahitajika kwenda navyoo ,Nenda vingunguti pale viwandani hukosi kazi!vitoto vidogo vinaajiriwa,pale kuna viwanda kibao,pepsi,moo,jambo,bakhresaa n.k ,Dar kukaa bila kazi ni uvivu wa baadhi ya watu ku kibarua unalipwa per day mpk 8500 wapo!ukienda Mbagala pale kuna viwanda pia!
Komaa dogo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
vitu gani vinahitajika kwenda navyoo ,
Nitumie numba yakoHabari yako,
Nakuja hapa kuomba msaada kwa yeyote yule mwenye kujua ni kiwanda kipi ndani ya Dar kinachopokea kibarua naomba anifahamishe maana natafuta kazi kwenye kiwanda chochote kile kinachopokea kibarua.
Asante sana.