Mimi ni mhitimu wa kozi za Kilimo na mifugo Natafuta ajira popote Tanzania nipo Mtwara naombeni msaada wenu kwa yeyote meenye connection aniunganishe.
Sim no:0678772549
Email:ngualos@gmail.com
mkuu ni DGA,CGA au JIWE?
Mimi ni mhitimu wa kozi za Kilimo na mifugo Natafuta ajira popote Tanzania nipo Mtwara naombeni msaada wenu kwa yeyote meenye connection aniunganishe.
Sim no:0678772549
Email:ngualos@gmail.com
Ni CGA.mkuu ni DGA,CGA au JIWE?
Mbona mtwara fursa nyingi sana mkuu kwa nini usitumie elimu uliyo ipata kuajiri wengneHata kuku wanahitaji capital
Mkuu anaweza kuwa hajui alicho somea ila anajua alicho jibia mtihaniKwa hiyo wewe ulikuwa unasoma bila malengo?
Yaani afisa kilimo na mifugo unataka uajiriwe kweli?
Kitu gani ulikuwa wajifunza darasani?
Uza simu yako nunua kuku
wewe unashida ndio umtafute duhNichki bax tupangane
Nimtaft cna mawaxlianowewe unashida ndio umtafute duh
pmNimtaft cna mawaxliano
Mbona mtwara fursa nyingi sana mkuu kwa nini usitumie elimu uliyo ipata kuajiri wengne
Mkuu nadhani uvivu wa sisi watanzania unatusumbua unakuta humu kuna maada nyingi kama hii na wadau wametoa mwongozo sasa mtu anapo kosa mda wa kufuatilia mijadala ya wengne anataka nae aanzishe yakekusoma na kuapply ulichokisoma ni vitu viwili tofauti mkuu, inahitaji akili mbadala kama alivokuja huku ndo aelezwe umuhimu kozi yake katika jamii
uko sawa kabisa mkuu, na kikubwa ni nature ya nchi yetu inavoendekeza kufanya kazi za kuwa mtu amechomekea muda wote ndo uonekane unafanya kaziMkuu nadhani uvivu wa sisi watanzania unatusumbua unakuta humu kuna maada nyingi kama hii na wadau wametoa mwongozo sasa mtu anapo kosa mda wa kufuatilia mijadala ya wengne anataka nae aanzishe yake
Tukirudi kwenye maada ni kuwa kwamba hapo alipo masasi anaweza kuwaona wakulima na akiweza aingie hata newala kuna wakulima wengi ila lazima afanye kazi kwa kujitolea kwanza kwa kuwapa ushauri na kuwaelimisha juu ya ufugaji na hapo ndo atatengeneza mazingira ya kujiari