iampizooh
Member
- Sep 2, 2017
- 43
- 34
Habari wana jamii forum, Naitwa Peter naishi dar es salaam.
Natafuta kazi yoyote ya kufanya ili niweze kuendesha maisha. Nimesoma mpaka chuo, mwalimu wa shule ya msingi..lakini sijabahatika kupata Ajira.
Natafuta kazi yoyote ambayo mfano stationary, hotelini, madukani, usafi, supermarket na nyingne zinazofanana na hizo
Namba ya simu: 0623-463055
Naomba mnisaidie kunitafutia kazi kama mna connection tafadhali
Natafuta kazi yoyote ya kufanya ili niweze kuendesha maisha. Nimesoma mpaka chuo, mwalimu wa shule ya msingi..lakini sijabahatika kupata Ajira.
Natafuta kazi yoyote ambayo mfano stationary, hotelini, madukani, usafi, supermarket na nyingne zinazofanana na hizo
Namba ya simu: 0623-463055
Naomba mnisaidie kunitafutia kazi kama mna connection tafadhali