Mungu akusaidie dada🙏🙏🤛Binti wa miaka 25 elimu stashahada ya uhasibu nipo hapa kuomba ajira kwenu ndugu zangu. Sio lazima kazi nilosomea hapana kazi yoyote halali itakayoniwezesha kujikimu kimaisha. Napatikana Kibaha Mlandizi 0757854660.
Mimi Naweza kukusaidia kupata UWAKALA, ukawa unafanya kazi za m pesa na mitandao mingine tu basiBinti wa miaka 25 elimu stashahada ya uhasibu nipo hapa kuomba ajira kwenu ndugu zangu. Sio lazima kazi nilosomea hapana kazi yoyote halali itakayoniwezesha kujikimu kimaisha. Napatikana Kibaha Mlandizi 0757854660.
Mkishafika awe na mtaji wa pesa kuanzia kiasi...... ujue kishadunda basi tenaaaMimi Naweza kukusaidia kupata UWAKALA, ukawa unafanya kazi za m pesa na mitandao mingine tu basi
Akikoma wee unafaidka nn mpka ufurahiUtakoma
Mkuu nimecheka kwa kusikitika eti utakoma ! Vp alikunyima papuchi nn maana sio kwa jibu iloUtakoma
Muache ni stress tuMkuu nimecheka kwa kusikitika eti utakoma ! Vp alikunyima papuchi nn maana sio kwa jibu ilo
Msamehe ajui alitendaloMuache ni stress tu
Stress za nini mi nilishatafutaga kazi miaka 5 iliyopitaa na sikutumia hizi mbinu zakoMuache ni stress tu
Umejuaje ana mbinu hii tu.Stress za nini mi nilishatafutaga kazi miaka 5 iliyopitaa na sikutumia hizi mbinu zako
NimeombaPole mdogo wangu.Zile za Postal Bank umeomba dada?deadline tarehe 22 February...
Baada ya kuwa umeipata hiyo kazi yoyote unayoitafuta kwa muda huu, baadaye tena unatakiwa uanze sasa kutafuta kazi ya UhasibuBinti wa miaka 25 elimu stashahada ya uhasibu nipo hapa kuomba ajira kwenu ndugu zangu. Sio lazima kazi nilosomea hapana kazi yoyote halali itakayoniwezesha kujikimu kimaisha.
Napatikana Kibaha Mlandizi 0757854660.
Wewe si nimeona kuna uzi humu unaomba kazi ya kutunza mbwa, tena siku tatu zilizopita, hapa unaambia mtu atakoma? HahaaaUtakoma
Kwa akili yako unaniona mimi wa kutafuta kazi kama hiyo?Wewe si nimeona kuna uzi humu unaomba kazi ya kutunza mbwa, tena siku tatu zilizopita, hapa unaambia mtu atakoma? Hahaaa