bilemasome
Member
- Oct 31, 2016
- 51
- 8
Amani iwe nanyi wakuu.
Elimu yangu ni ya kidato cha sita nilichukua PCM. Naombeni msaada wenu ni wapi naweza kupata kazi walau kipato ntakachokipata kupitia hiyo kazi kiweze kunisaidia kuendelea na shule mwakani.
Ahsante.
Contacts zangu ni hizi hapa: 0716 345089
Elimu yangu ni ya kidato cha sita nilichukua PCM. Naombeni msaada wenu ni wapi naweza kupata kazi walau kipato ntakachokipata kupitia hiyo kazi kiweze kunisaidia kuendelea na shule mwakani.
Ahsante.
Contacts zangu ni hizi hapa: 0716 345089