Natafuta kazi yoyote halali

Natafuta kazi yoyote halali

Wakuu habari zenu...Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 24 yupo tu nyumbani ( Magomeni hapa Dar es salaam) anatafuta kazi yoyote halali ya kumuingizia kipato ili aweze kujikimu kwa mambo madogo tafadhali naombeni msaada wenu apate kazi hata kuuza duka au ukonda wa magari ya mikoani nitashukuru sana..kwa mawasiliano zaidi karibu pm
Duh! Anaishi magomeni na ana umri miaka 24?🫣
 
Back
Top Bottom