PILSNER
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 429
- 742
Wasalaam
Mimi na kijana mwenye umri wa miaka 20 niko mbeya.
Natafuta kazi yoyote halali ili mradi tu iniingizie kipato cha kujikimu na hali ya maisha.
Elimu yangu ni kidato cha tatu kwa bahati mbaya nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na kukosa ada huku mimi nikiwa ndo tegemezi katika familia.
Niko tayari kufanya kazi sehemu yoyote ile.
Nawasilisha.
Mimi na kijana mwenye umri wa miaka 20 niko mbeya.
Natafuta kazi yoyote halali ili mradi tu iniingizie kipato cha kujikimu na hali ya maisha.
Elimu yangu ni kidato cha tatu kwa bahati mbaya nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na kukosa ada huku mimi nikiwa ndo tegemezi katika familia.
Niko tayari kufanya kazi sehemu yoyote ile.
Nawasilisha.